Mathayo 11:5-6
Mathayo 11:5-6 Biblia Habari Njema (BHN)
Vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”
Shirikisha
Soma Mathayo 11Mathayo 11:5-6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
vipofu wanapata kuona, viwete wanakwenda, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa Habari Njema. Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.
Shirikisha
Soma Mathayo 11