Mathayo 10:7-8
Mathayo 10:7-8 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia. Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Shirikisha
Soma Mathayo 10Mathayo 10:7-8 Biblia Habari Njema (BHN)
Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’ Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.
Shirikisha
Soma Mathayo 10Mathayo 10:7-8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na katika kuenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia. Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Shirikisha
Soma Mathayo 10