Malaki 3:8
Malaki 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Je, ni sawa mtu kumdanganya Mungu? La! Lakini nyinyi mnanidanganya! Walakini nyinyi mwauliza: ‘Tunakudanganya kwa namna gani?’ Naam! Mnanidanganya kuhusu zaka na tambiko zenu.
Shirikisha
Soma Malaki 3Malaki 3:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.
Shirikisha
Soma Malaki 3