Malaki 2:11
Malaki 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Watu wa Yuda wamekosa uaminifu kwa Mungu na kutenda machukizo katika Israeli na mjini Yerusalemu. Wamelitia unajisi hekalu la Mwenyezi-Mungu analolipenda. Tena wameoa wanawake wanaoabudu miungu ya kigeni.
Shirikisha
Soma Malaki 2Malaki 2:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yuda ametenda kwa hiana, na chukizo limetendeka katika Israeli, na katika Yerusalemu; maana Yuda ameunajisi utakatifu wa BWANA aupendao, naye amemwoa binti ya mungu mgeni.
Shirikisha
Soma Malaki 2