Malaki 2:10
Malaki 2:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Je, sisi sote si watoto wa baba mmoja? Je, sisi sote hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Mbona basi, hatuaminiani sisi kwa sisi, na tunalidharau agano alilofanya Mwenyezi-Mungu na wazee wetu?
Shirikisha
Soma Malaki 2Malaki 2:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Je! Sisi sote hatuna Baba mmoja? Mungu aliyetuumba siye mmoja tu? Basi, mbona kila mmoja wetu anamtenda ndugu yake mambo ya hiana, tukilinajisi agano la baba zetu?
Shirikisha
Soma Malaki 2