Luka 8:13
Luka 8:13 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Zile mbegu zilizoanguka kwenye mwamba ni wale ambao hulipokea neno kwa furaha wanapolisikia, lakini hawana mizizi. Wanaamini kwa muda mfupi, lakini wakati wa kujaribiwa huiacha imani.
Shirikisha
Soma Luka 8Luka 8:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Zile zilizoanguka penye mawe zinaonesha watu wale ambao wanaposikia juu ya lile neno hulipokea kwa furaha. Lakini kama zile mbegu, watu hao hawana mizizi maana husadiki kwa kitambo tu, na wanapojaribiwa hukata tamaa.
Shirikisha
Soma Luka 8Luka 8:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na wale penye mwamba ndio wale ambao wasikiapo hulipokea lile neno kwa furaha; nao hawana mizizi, huamini kitambo kidogo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.
Shirikisha
Soma Luka 8