Luka 5:8 - Compare All Versions
Luka 5:8 BHN (Biblia Habari Njema)
Simoni Petro alipoona hayo, akapiga magoti mbele ya Yesu akisema, “Ondoka mbele yangu, ee Bwana, kwa kuwa mimi ni mwenye dhambi!”
Shirikisha
Luka 5 BHNLuka 5:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini mbele ya Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.
Shirikisha
Luka 5 SRUVLuka 5:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Simoni Petro alipoona hayo, alianguka magotini pa Yesu, akisema, Ondoka kwangu, kwa kuwa mimi ni mtu mwenye dhambi, Bwana.
Shirikisha
Luka 5 SUVLuka 5:8 NEN (Neno)
Simoni Petro alipoona haya yaliyotukia, alianguka miguuni pa Yesu na kumwambia, “Bwana, ondoka kwangu. Mimi ni mtu mwenye dhambi!”
Shirikisha
Luka 5 NEN