Luka 4:38
Luka 4:38 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alitoka katika lile sunagogi, akaenda nyumbani kwa Simoni. Mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa na homa kali; wakamwomba amponye.
Shirikisha
Soma Luka 4Luka 4:38 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akatoka katika sinagogi, akaingia katika nyumba ya Simoni. Naye mkwewe Simoni, mamaye mkewe, alikuwa ameshikwa na homa kali, wakamwomba kwa ajili yake.
Shirikisha
Soma Luka 4