Luka 24:21
Luka 24:21 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini sisi tulitumaini kwamba yeye ndiye angeikomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu mambo hayo yalipotendeka.
Shirikisha
Soma Luka 24Luka 24:21 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nasi tulikuwa tukitumaini ya kuwa yeye ndiye atakayewakomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu yalipotendeka mambo hayo
Shirikisha
Soma Luka 24