Luka 21:34
Luka 21:34 Biblia Habari Njema (BHN)
“Muwe macho, mioyo yenu isije ikalemewa na anasa, ulevi na shughuli za maisha haya. La sivyo, siku ile itawajieni ghafla.
Shirikisha
Soma Luka 21Luka 21:34 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo
Shirikisha
Soma Luka 21