Luka 17:6
Luka 17:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Naye Bwana akajibu, “Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu: ‘Ngoka ukajipandikize baharini,’ nao ungewatii.
Shirikisha
Soma Luka 17Luka 17:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Bwana akasema, Kama mngekuwa na imani kiasi cha chembe ya haradali, mngeuambia mkuyu huu, Ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.
Shirikisha
Soma Luka 17