Luka 17:2
Luka 17:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Ingekuwa afadhali kwake kufungiwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini, kuliko kumkwaza mmoja wa wadogo hawa.
Shirikisha
Soma Luka 17Luka 17:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
Shirikisha
Soma Luka 17