Luka 16:31
Luka 16:31 Biblia Habari Njema (BHN)
Naye Abrahamu akasema: ‘Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka kwa wafu.’”
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:31 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.
Shirikisha
Soma Luka 16