Luka 16:23
Luka 16:23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Abrahamu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:23 Biblia Habari Njema (BHN)
Huyo tajiri, akiwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro karibu naye.
Shirikisha
Soma Luka 16