Luka 16:2
Luka 16:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Yule tajiri akamwita, akamwambia: ‘Ni mambo gani haya ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya mapato na matumizi ya mali yangu, kwa maana huwezi kuwa karani tena.’
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akamwita, akamwambia, Ni habari gani hii ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya uwakili wako, kwa kuwa huwezi kuwa wakili tena.
Shirikisha
Soma Luka 16