Luka 16:10
Luka 16:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Yeyote aliye mwaminifu katika mambo madogo, atakuwa mwaminifu katika mambo makubwa; na yeyote asiye mwaminifu katika mambo madogo, hatakuwa mwaminifu katika mambo makubwa.
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na asiyeaminika katika lililo dogo, huwa haaminiki pia katika lililo kubwa.
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:10 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo dogo, huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
Shirikisha
Soma Luka 16