Luka 16:1
Luka 16:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: “Tajiri mmoja alikuwa na karani wake. Huyu karani alichongewa kwamba alitumia ovyo mali ya tajiri wake.
Shirikisha
Soma Luka 16Luka 16:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tena, aliwaambia wanafunzi wake, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyekuwa na wakili wake; huyu alishitakiwa kwake kuwa anatapanya mali zake.
Shirikisha
Soma Luka 16