Luka 15:4
Luka 15:4 Biblia Habari Njema (BHN)
“Hivi, mmoja wenu akiwa na kondoo 100, akigundua kwamba mmoja wao amepotea, atafanya nini? Atawaacha wale tisini na tisa mbugani, na kwenda kumtafuta yule aliyepotea mpaka ampate.
Shirikisha
Soma Luka 15Luka 15:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ni nani kwenu, mwenye kondoo mia, akipotewa na mmojawapo, asiyewaacha wale tisini na tisa nyikani, aende akamtafute yule aliyepotea hadi amwone?
Shirikisha
Soma Luka 15