Luka 13:2
Luka 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Naye Yesu akawaambia, “Mnadhani Wagalilaya hao walikuwa wahalifu kuliko Wagalilaya wengine, ati kwa sababu wameteseka hivyo?
Shirikisha
Soma Luka 13Luka 13:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akawajibu akawaambia, Je! Mwadhani ya kwamba Wagalilaya hao walikuwa wenye dhambi kuliko Wagalilaya wote, hata wakapatwa na mambo hayo?
Shirikisha
Soma Luka 13