Luka 10:25
Luka 10:25 Biblia Habari Njema (BHN)
Baadaye mwanasheria mmoja alisimama, akamwuliza akitaka kumtega, “Mwalimu, nifanye nini ili nipate uhai wa milele?”
Shirikisha
Soma Luka 10Luka 10:25 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na tazama, mwanasheria mmoja alisimama amjaribu; akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?
Shirikisha
Soma Luka 10