Walawi 7:28-29
Walawi 7:28-29 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, “Waambie watu wa Israeli hivi: Mtu yeyote akitoa sadaka ya amani, atampa Mwenyezi-Mungu sehemu ya sadaka hiyo.
Shirikisha
Soma Walawi 7Walawi 7:28-29 Swahili Revised Union Version (SRUV)
BWANA akanena na Musa, na kumwambia, Nena na wana wa Israeli uwaambie, Yeye asongezaye dhabihu yake ya sadaka za amani kwa BWANA, atamletea BWANA matoleo yake, kutoka katika ile dhabihu ya sadaka zake za amani
Shirikisha
Soma Walawi 7