Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

Walawi 19:34 - Linganisha Matoleo Yote

Walawi 19:34 BHN (Biblia Habari Njema)

Huyo mgeni anayekaa nawe atakuwa kwako kama mwenyeji nawe utampenda kama unavyojipenda mwenyewe, kwa kuwa nawe ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.

Shirikisha
Walawi 19 BHN

Walawi 19:34 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Mgeni akaaye pamoja nawe atakuwa kama mzalia kwenu; mpende kama nafsi yako; kwa maana ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.

Shirikisha
Walawi 19 SUV

Walawi 19:34 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Mgeni aishiye pamoja nawe atakuwa kama mzaliwa kwenu; mpende kama nafsi yako; kwa maana ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.

Shirikisha
Walawi 19 SRUV

Walawi 19:34 NEN (Neno)

Mgeni anayeishi pamoja nawe ni lazima umtendee kama mmoja wa wazawa wa nchi yako. Mpende kama unavyojipenda mwenyewe, kwa maana ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi BWANA Mungu wako.

Shirikisha
Walawi 19 NEN