Yuda 1:16
Yuda 1:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Watu hawa hunung'unika daima, hulalamika, hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kwa faida yao wenyewe.
Shirikisha
Soma Yuda 1Yuda 1:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Watu hawa ni wenye kunung'unika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.
Shirikisha
Soma Yuda 1