Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoshua 2:14 - Compare All Versions

Yoshua 2:14 BHN (Biblia Habari Njema)

Wale watu wakamjibu, “Uhai wenu ni uhai wetu! Kama hamtaifichua siri yetu, Mwenyezi-Mungu atakapotupa nchi hii, tutakutendea kwa wema na uaminifu.”

Shirikisha
Yoshua 2 BHN

Yoshua 2:14 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Wale wanaume wakamwambia, Uhai wetu badala ya uhai wenu, ikiwa hamwitangazi habari ya shughuli yetu hii; kisha itakuwa, wakati BWANA atakapotupa nchi hii, tutakutendea kwa ihisani na uaminifu.

Shirikisha
Yoshua 2 SUV

Yoshua 2:14 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Wale wanaume wakamwambia, Tutautoa uhai wetu badala ya uhai wenu, ikiwa hamwitangazi habari ya shughuli yetu hii; kisha itakuwa, wakati BWANA atakapotupa nchi hii, tutakutendea kwa hisani na uaminifu.

Shirikisha
Yoshua 2 SRUV

Yoshua 2:14 NEN (Neno)

Wale watu wakamhakikishia Rahabu, “Uhai wetu kwa uhai wenu! Ikiwa hutatoa habari ya nini tunachofanya, BWANA atakapotupatia nchi hii, tutawatendea kwa hisani na kwa uaminifu.”

Shirikisha
Yoshua 2 NEN