Yohane 9:41
Yohane 9:41 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa nyinyi mwasema: ‘Sisi tunaona,’ na hiyo yaonesha kwamba mna hatia bado.
Shirikisha
Soma Yohane 9Yohane 9:41 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini kwa kuwa sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.
Shirikisha
Soma Yohane 9