Yohane 9:22 - Compare All Versions
Yohane 9:22 BHN (Biblia Habari Njema)
Wazazi wake walisema hivyo kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi kwani viongozi hao walikuwa wamepatana ya kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa nje ya sunagogi.
Shirikisha
Yohane 9 BHNYohane 9:22 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Wazazi wake waliyasema hayo kwa sababu waliwaogopa Wayahudi; kwa maana Wayahudi walikuwa wamekwisha kukubaliana kwamba mtu akimkiri kuwa ni Kristo, atatengwa na sinagogi.
Shirikisha
Yohane 9 SRUVYohane 9:22 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wazazi wake waliyasema hayo kwa sababu waliwaogopa Wayahudi; kwa maana Wayahudi walikuwa wamekwisha kuafikiana kwamba mtu akimkiri kuwa ni Kristo, atatengwa na sinagogi.
Shirikisha
Yohane 9 SUVYohane 9:22 NEN (Neno)
Wazazi wake walisema hivi kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi, kwani walikuwa wamekubaliana kuwa mtu yeyote atakayemkiri Yesu kuwa ndiye Kristo atafukuzwa kutoka sinagogi.
Shirikisha
Yohane 9 NEN