Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 9:16 - Compare All Versions

Yohane 9:16 BHN (Biblia Habari Njema)

Baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, maana hashiki sheria ya Sabato.” Lakini wengine wakasema, “Mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara za namna hii?” Kukawa na mafarakano kati yao.

Shirikisha
Yohane 9 BHN

Yohane 9:16 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa matengano kati yao.

Shirikisha
Yohane 9 SUV

Yohane 9:16 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.

Shirikisha
Yohane 9 SRUV

Yohane 9:16 NEN (Neno)

Baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Huyu mtu hatoki kwa Mungu, kwa sababu hashiki Sabato.” Lakini wengine wakasema, “Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya miujiza kama hii?” Wakagawanyika.

Shirikisha
Yohane 9 NEN