Yohane 8:33
Yohane 8:33 Biblia Habari Njema (BHN)
Nao wakamjibu, “Sisi ni wazawa wa Abrahamu, na hatujapata kamwe kuwa watumwa wa mtu yeyote yule. Una maana gani unaposema: ‘Mtakuwa huru?’”
Shirikisha
Soma Yohane 8Yohane 8:33 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakamjibu, Sisi tu uzao wake Abrahamu, wala hatujawa watumwa wa mtu wakati wowote; nawe wasemaje, Mtawekwa huru?
Shirikisha
Soma Yohane 8