Yohane 6:61
Yohane 6:61 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa wananungunika juu ya jambo hilo, akawauliza, “Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka?
Shirikisha
Soma Yohane 6Yohane 6:61 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naye Yesu akafahamu nafsini mwake ya kuwa wanafunzi wake wanalinung'unikia neno hilo, akawaambia, Je! Neno hili linawakwaza?
Shirikisha
Soma Yohane 6