Yohane 6:53
Yohane 6:53 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, msipokula mwili wa Mwana wa Mtu na kunywa damu yake, hamtakuwa na uhai ndani yenu.
Shirikisha
Soma Yohane 6Yohane 6:53 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Msipoula mwili wake Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu.
Shirikisha
Soma Yohane 6