Yohane 5:6 - Compare All Versions
Yohane 5:6 BHN (Biblia Habari Njema)
Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo na kujua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, “Je, wataka kupona?”
Shirikisha
Yohane 5 BHNYohane 5:6 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa katika hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?
Shirikisha
Yohane 5 SRUVYohane 5:6 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?
Shirikisha
Yohane 5 SUVYohane 5:6 NEN (Neno)
Yesu alipomwona akiwa amelala hapo, na akijua amekuwa katika hali hiyo kwa muda mrefu, akamwambia, “Je, wataka kuponywa?”
Shirikisha
Yohane 5 NEN