Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohane 5:6 - Compare All Versions

Yohane 5:6 BHN (Biblia Habari Njema)

Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo na kujua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, “Je, wataka kupona?”

Shirikisha
Yohane 5 BHN

Yohane 5:6 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa katika hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?

Shirikisha
Yohane 5 SRUV

Yohane 5:6 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Yesu alipomwona huyu amelala, naye akijua ya kuwa amekuwa hali hiyo siku nyingi, alimwambia, Wataka kuwa mzima?

Shirikisha
Yohane 5 SUV

Yohane 5:6 NEN (Neno)

Yesu alipomwona akiwa amelala hapo, na akijua amekuwa katika hali hiyo kwa muda mrefu, akamwambia, “Je, wataka kuponywa?”

Shirikisha
Yohane 5 NEN