Yohane 5:29
Yohane 5:29 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
Shirikisha
Soma Yohane 5Yohane 5:29 Biblia Habari Njema (BHN)
nao watafufuka: Wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa.
Shirikisha
Soma Yohane 5