Yohane 5:25
Yohane 5:25 Biblia Habari Njema (BHN)
Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wafu wataisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi.
Shirikisha
Soma Yohane 5Yohane 5:25 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Amin, amin, nawaambia, Saa inakuja, na sasa ipo, wafu watakapoisikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale waisikiao watakuwa hai.
Shirikisha
Soma Yohane 5