Yohane 5:13
Yohane 5:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.
Shirikisha
Soma Yohane 5Yohane 5:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini yule mtu aliyeponywa hakumjua ni nani; maana Yesu alikuwa amejitenga, kwa sababu palikuwa na watu wengi mahali pale.
Shirikisha
Soma Yohane 5