Yohane 4:46
Yohane 4:46 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu.
Shirikisha
Soma Yohane 4Yohane 4:46 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi alifika tena Kana ya Galilaya, hapo alipoyafanya yale maji kuwa divai. Na palikuwa na ofisa mmoja ambaye mwanawe alikuwa mgonjwa huko Kapernaumu.
Shirikisha
Soma Yohane 4