Yohane 20:12
Yohane 20:12 Biblia Habari Njema (BHN)
akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni.
Shirikisha
Soma Yohane 20Yohane 20:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akaona malaika wawili, wenye mavazi meupe, wameketi, mmoja kichwani na mmoja miguuni, hapo ulipolazwa mwili wake Yesu.
Shirikisha
Soma Yohane 20