Yohane 19:36-37
Yohane 19:36-37 Biblia Habari Njema (BHN)
Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.” Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”
Shirikisha
Soma Yohane 19Yohane 19:36-37 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na tena andiko lingine lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.
Shirikisha
Soma Yohane 19