Yohane 19:28
Yohane 19:28 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Baada ya haya, akijua kuwa mambo yote yamemalizika, na ili kutimiza Maandiko, Yesu akasema, “Naona kiu.”
Shirikisha
Soma Yohane 19Yohane 19:28 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha, Yesu aliona kwamba yote yalikuwa yametimia; na, ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia, akasema, “Naona kiu.”
Shirikisha
Soma Yohane 19Yohane 19:28 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Baada ya hayo Yesu, hali akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizika ili andiko litimizwe, akasema, Naona kiu.
Shirikisha
Soma Yohane 19