Yohane 18:1
Yohane 18:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu alipokwisha sema hayo, alikwenda ngambo ya kijito Kedroni, pamoja na wanafunzi wake. Mahali hapo palikuwa na bustani, naye Yesu akaingia humo pamoja na wanafunzi wake.
Shirikisha
Soma Yohane 18Yohane 18:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Alipokwisha kusema hayo, Yesu alitoka pamoja na wanafunzi wake kwenda ng'ambo ya kijito Kedroni, palipokuwapo bustani; akaingia yeye na wanafunzi wake.
Shirikisha
Soma Yohane 18