Yohane 14:3-4
Yohane 14:3-4 Biblia Habari Njema (BHN)
Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi. Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:3-4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo. Nami niendako mwaijua njia.
Shirikisha
Soma Yohane 14