Yohane 14:3-4 - Compare All Versions
Yohane 14:3-4 BHN (Biblia Habari Njema)
Na nikienda na kuwatayarishieni nafasi, nitarudi na kuwachukueni kwangu, ili nanyi muwe pale nilipo mimi. Mnajua njia ya kwenda huko ninakokwenda.”
Shirikisha
Yohane 14 BHNYohane 14:3-4 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo. Nami niendako mwaijua njia.
Shirikisha
Yohane 14 SRUVYohane 14:3-4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo. Nami niendako mwaijua njia.
Shirikisha
Yohane 14 SUVYohane 14:3-4 NEN (Neno)
Nami nikienda na kuwaandalia makao, nitarudi tena na kuwachukua mkae pamoja nami, ili mahali nilipo nanyi mpate kuwepo. Ninyi mnajua njia ya kufika ninakoenda.”
Shirikisha
Yohane 14 NEN