Yohane 14:26
Yohane 14:26 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Lakini huyo Msaidizi, yaani huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa Jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:26 Biblia Habari Njema (BHN)
lakini Msaidizi, Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisheni kila kitu na kuwakumbusheni yote niliyowaambieni.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:26 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:26 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Shirikisha
Soma Yohane 14