Yohane 12:42
Yohane 12:42 Biblia Habari Njema (BHN)
Hata hivyo, wengi wa viongozi wa Wayahudi walimwamini Yesu. Lakini kwa sababu ya Mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.
Shirikisha
Soma Yohane 12Yohane 12:42 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi.
Shirikisha
Soma Yohane 12