Yohane 11:1
Yohane 11:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Mtu mmoja aitwaye Lazaro, mwenyeji wa Bethania, alikuwa mgonjwa. (Kijiji cha Bethania kilikuwa mahali walipokaa Maria na Martha, dada yake.
Shirikisha
Soma Yohane 11Yohane 11:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi mtu mmoja alikuwa mgonjwa, Lazaro wa Bethania, mwenyeji wa mji wa Mariamu na Martha, dada yake.
Shirikisha
Soma Yohane 11