Yohane 10:9
Yohane 10:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Mimi ni mlango. Anayeingia kwa kupitia kwangu ataokolewa; ataingia na kutoka, na kupata malisho.
Shirikisha
Soma Yohane 10Yohane 10:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Shirikisha
Soma Yohane 10Yohane 10:9 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Shirikisha
Soma Yohane 10