Yohane 10:7
Yohane 10:7 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Kwa hiyo Yesu akasema nao tena, akawaambia, “Amin, amin nawaambia, mimi ndimi lango la kondoo.
Shirikisha
Soma Yohane 10Yohane 10:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, akasema tena, “Kweli nawaambieni, mimi ni mlango wa kondoo.
Shirikisha
Soma Yohane 10Yohane 10:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.
Shirikisha
Soma Yohane 10Yohane 10:7 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.
Shirikisha
Soma Yohane 10