Yohane 10:12
Yohane 10:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwamwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.
Shirikisha
Soma Yohane 10Yohane 10:12 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya.
Shirikisha
Soma Yohane 10