Yohane 1:38
Yohane 1:38 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, Yesu aligeuka, na alipowaona hao wanafunzi wanamfuata, akawauliza, “Mnatafuta nini?” Nao wakamjibu, “Rabi, (yaani Mwalimu), unakaa wapi?”
Shirikisha
Soma Yohane 1Yohane 1:38 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?
Shirikisha
Soma Yohane 1