Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 5:7 - Compare All Versions

Yeremia 5:7 BHN (Biblia Habari Njema)

Mwenyezi-Mungu anauliza: “Nitawezaje kukusamehe ee Yerusalemu? Watu wako wameniasi; wameapa kwa miungu ya uongo. Nilipowashibisha kwa chakula, wao walifanya uzinzi, wakajumuika majumbani mwa makahaba.

Shirikisha
Yeremia 5 BHN

Yeremia 5:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Nawezaje kukusamehe? Watoto wako wameniacha mimi, na kuapa kwa hao ambao si miungu; nilipokuwa nimewashibisha chakula, walizini, wakakutana wengi pamoja katika nyumba za makahaba.

Shirikisha
Yeremia 5 SRUV

Yeremia 5:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Nawezaje kukusamehe? Watoto wako wameniacha mimi, na kuapa kwa hao ambao si miungu; nilipokuwa nimewashibisha chakula, walizini, wakakutana wengi pamoja katika nyumba za makahaba.

Shirikisha
Yeremia 5 SUV

Yeremia 5:7 NEN (Neno)

“Kwa nini niwasamehe? Watoto wenu wameniacha kwa kuapa kwa miungu batili. Niliwapatia mahitaji yao yote, lakini bado wamefanya uzinzi na kusongamana katika nyumba za makahaba.

Shirikisha
Yeremia 5 NEN