Yeremia 5:7 - Compare All Versions
Yeremia 5:7 BHN (Biblia Habari Njema)
Mwenyezi-Mungu anauliza: “Nitawezaje kukusamehe ee Yerusalemu? Watu wako wameniasi; wameapa kwa miungu ya uongo. Nilipowashibisha kwa chakula, wao walifanya uzinzi, wakajumuika majumbani mwa makahaba.
Shirikisha
Yeremia 5 BHNYeremia 5:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Nawezaje kukusamehe? Watoto wako wameniacha mimi, na kuapa kwa hao ambao si miungu; nilipokuwa nimewashibisha chakula, walizini, wakakutana wengi pamoja katika nyumba za makahaba.
Shirikisha
Yeremia 5 SRUVYeremia 5:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nawezaje kukusamehe? Watoto wako wameniacha mimi, na kuapa kwa hao ambao si miungu; nilipokuwa nimewashibisha chakula, walizini, wakakutana wengi pamoja katika nyumba za makahaba.
Shirikisha
Yeremia 5 SUVYeremia 5:7 NEN (Neno)
“Kwa nini niwasamehe? Watoto wenu wameniacha kwa kuapa kwa miungu batili. Niliwapatia mahitaji yao yote, lakini bado wamefanya uzinzi na kusongamana katika nyumba za makahaba.
Shirikisha
Yeremia 5 NEN