Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 5:4 - Compare All Versions

Yeremia 5:4 BHN (Biblia Habari Njema)

Ndipo nilipowaza: “Hawa ni watu duni hawana akili; hawajui matakwa ya Mwenyezi-Mungu, hawajui Sheria ya Mungu wao.

Shirikisha
Yeremia 5 BHN

Yeremia 5:4 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Ndipo nikasema, Hakika, hawa ni maskini; ni wajinga hawa; maana hawaijui njia ya BWANA, wala hukumu ya Mungu wao

Shirikisha
Yeremia 5 SRUV

Yeremia 5:4 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Ndipo nikasema, Hakika, hawa ni maskini; ni wajinga hawa; maana hawaijui njia ya BWANA, wala hukumu ya Mungu wao

Shirikisha
Yeremia 5 SUV

Yeremia 5:4 NEN (Neno)

Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu; wao ni wapumbavu, kwa maana hawaijui njia ya BWANA, sheria ya Mungu wao.

Shirikisha
Yeremia 5 NEN