Yeremia 5:10 - Compare All Versions
Yeremia 5:10 BHN (Biblia Habari Njema)
“Pandeni mpite katika mashamba yake ya mizabibu mkaharibu kila kitu bila kumaliza kabisa. Yakateni matawi yake, kwani hayo si yangu mimi Mwenyezi-Mungu.
Shirikisha
Yeremia 5 BHNYeremia 5:10 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Pandeni juu ya kuta zake mkaharibu, lakini msiharibu kabisa; ondoeni matawi yake; kwa maana si yake BWANA.
Shirikisha
Yeremia 5 SRUVYeremia 5:10 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Pandeni juu ya kuta zake mkaharibu, lakini msiharibu kabisa; ondoeni matawi yake; kwa maana si yake BWANA.
Shirikisha
Yeremia 5 SUVYeremia 5:10 NEN (Neno)
“Piteni katika mashamba yake ya mizabibu na kuyaharibu, lakini msiangamize kabisa. Pogoeni matawi yake, kwa kuwa watu hawa sio wa BWANA.
Shirikisha
Yeremia 5 NEN