Yeremia 5:10
Yeremia 5:10 Biblia Habari Njema (BHN)
“Pandeni mpite katika mashamba yake ya mizabibu mkaharibu kila kitu bila kumaliza kabisa. Yakateni matawi yake, kwani hayo si yangu mimi Mwenyezi-Mungu.
Shirikisha
Soma Yeremia 5Yeremia 5:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Pandeni juu ya kuta zake mkaharibu, lakini msiharibu kabisa; ondoeni matawi yake; kwa maana si yake BWANA.
Shirikisha
Soma Yeremia 5